VITA YA UKEKETAJI WANAUME WAWE MBELE: DKT. GWAJIMA
Na WMJJWM, Dodoma Wanaume na Wavulana wamehimizwa kushiriki kikamilifu kupinga Mila na Desturi zenye madhara ili kutokomeza ukeketaji.Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum ameyasema hayo jijini Dodoma Leo Februari 02 alipozungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya kupinga Ukeketaji dhidi ya Wanawake yanayofanyika Februari 06 ya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed